Magaidi waliotoroka gerezani Kenya wakamatwa
Wafungwa 3 wanaohusishwa na visa vya ugaidi ambao walitoroka jela ya Kamiti nchini Kenya siku ya Jumatatu wamekamatwa. Musharaf Abdalla maarufu Alex Shikanda , Joseph Ouma na Mohammed Ali Abikar walikamatwa katika eneo la Kitui kusini mwa Kenya. Watatu hao waliibua taharuki nchini Kenya walipotoroka kutoka jela yenye ulinzi mkali zaidi baada kutoboa ukuta wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed